Simba imetua mjini Unguja tayari kuanza kambi ya kujiandaa na msimu
mpya.
Hata hivyo, kikosi cha Simba kimetua Zanzibar bila ya kocha wake,
Patrick Phiri.
Selemani Matola ambaye ni kocha Msaidizi, ndiye atakiongoza kikosi
hicho.
Kwa mujibu wa uongozi wa Simba, Phiri ambaye juzi amesaini mkataba wa
mwaka mmoja kuinoa Simba, atawasili Zanzibar kesho kuendelea na kazi.
0 COMMENTS:
Post a Comment