September 19, 2014


MARIO BALOTELLI AMEONYESHA ANA KIPAJI KINGINE BAADA YA KUMCHAKAZA MCHEZAJI MWENZAKE RAHEEM STERLING KATIKA MCHEZO WA PING PONG AU TABLE TENISI. WACHEZAJI WA LIVERPOOL WAMEKUWA WAKIJIBURUDISHA KWA MICHEZO MBALIMBALI. BAADA YA MCHEZO KUWA MKALI, STERLING ALIJITAHIDI KUSAWAZISHA LAKINI KAMALI YA BALOTELLI YALIMSHINDA, AKAINGIA CHINI YA MEZA, LAKINI BAADAYE BALOTELLI NAYE AKAINGIA..HA HA HA HA.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic