September 23, 2014


Kiungo Frank Lampard sasa atacheza mechi nyingine dhidi ya Chelsea, safari hii kwenye Uwanja wake kipenzi wa Stamford Bridge.

Manchester City imeamua kuongeza mkataba na Lampard hadi mwezi Februari, mwakani.
Inaonekana kama angeondoka mapema, angeishia kufanya mazoezi tu kwa kuwa Ligi Kuu ya Marekani (Major League) akiwa na timu yake ya New York City, itakuwa haijaanza.
Hivyo sasa atabaki na Man City hadi February, maana yake atacheza mechi dhidi ya Chelsea Januari 31.
Katika mechi ya Jumapili, Lampard aliifungia Man City bao la kusawazisha na kuikoa kupoteza mchezo dhidi ya Chelsea.
Lampard ni kati ya wachezaji vipenzi vya mashabiki wa Chelsea ambayo ameichezea zaidi ya miaka 10.


MECHI ANAZOTARAJIWA KUICHEZEA CITY
Sheff Wed (a) Wednesday
Hull (h) - September 27
Roma (h) - September 30
Aston Villa (a) - October 4
Tottenham (h) - October 18
CSKA (a) - October 21
West Ham (a) - October 25
Man Utd (h) - November 2
CSKA (a) - November 5
QPR (a) - November 8
Swansea (h) - November 22
Bayern (h) - November 25
Southampton (a) - November 30
Sunderland (a) - December 3
Everton (h) - December 6
Roma (a) - December 10
Leicester (a) - December 13
C Palace (h) - December 20
West Brom (a) - December 26
Burnley (h) - December 28
Sunderland (h) - January 1
Everton (a) - January 10
Arsenal (h) - January 17
Chelsea (a) - January 31


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic