Ramadhani Salim raia wa Kenya ni mmoja wa washambuliaji hatari
ambayo Simba wakati wanaivaa Coastal Union, wanapaswa kumchunga.
Rama alikuwa mshambuliaji wa Gor mahia ya Kenya na kama
unakumbuka Kocha wa zamani wa Simba, Zdarvko Logarusic alitka sana atue
Msimbazi badala ya Paul Kiongera.
Ni mzuri kwa mashuti, anapiga miguu yote, mzuri wa vichwa na kwa
msimu mmoja amewahi kufunga mabao 21 kwa michuano yote akiwa na Gor Mahia.
Yumo kwenye kikosi cha leo.
|
0 COMMENTS:
Post a Comment