Mashabiki wa Stand United
walitoa kali pale walipoingia uwanjani na gari maarufu kama kijiko.
Mashabiki hao walifanya
hivyo kwenye Uwanja wa Kambarage wakati Yanga ikiivaa Stand United, jana.
Hata hivyo, pamoja na
mbwembwe hizo, Stand waliambulia kipigo cha mabao 3-0 kikiwa ni cha pili
nyumbani baada ya kuanza ligi kwa kutwangwa bao 4-1 na Ndanda FC.
0 COMMENTS:
Post a Comment