Beki Mbuyu Twite alionyesha
umahiri wa kucheza muziki aina ya mayenu mara baada ya mshambuliaji Mbrazil,
Jaja kuifungia Yanga bao lake la kwanza katika Ligi Kuu Bara.
Yanga ilikuwa inaivaa Stand
United kwenye Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga, jana.
Twite alionyesha kama
akicharaza gitaa huku akicheza, hali iliyowalazimu wote walioongozana naye
kushangilia kwa kucheza mayenu huku Jaja na Coutinho raia wa Brazil wakionekana
kubabaika.
Coutinho aliposhindwa, yeye
alianza kuwahamasisha mashabiki kushangilia.
0 COMMENTS:
Post a Comment