November 20, 2014


Kiungo Dirk Kuyt, ametupia picha kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter akionyesha ujuzi wake wa mchezo wa Kung Fu.

Kuyt raia wa Uholanzi anayekipiga Besiktas ya Uturuki ameonyesha namna alivyo na uwezo wakati akiwa gym.

Tayari kumekuwa na taarifa kiungo huyo wa zamani wa Liverpool ana mpango wa kurejea kwenye Ligi Kuu England.

Inaelezwa, Kuyt mwenye mapafu ya ‘mbwa’ huenda akajiunga na Southampton.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic