January 20, 2015


Kocha Hans van der Pluijm ameendelea na mazoezi kukinoa kikosi chake kwenye Uwanja wa Tanganyika Packers jijini Dar es Salaam.


Mazoezi hayo yalikuwa ni kasi pamoja na kucheza mpira kwa pasi za harakaharaka.

Tokea Pluijm amerejea Yanga, ameingoza Yanga kucheza mechi mbili za Ligi Kuu Bara na zote imetoka sare.

Sare ya mabao 2-2 dhidi ya Azam FC na 0-0 dhidi ya Ruvu Shooting Jumamosi iliyopita.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic