February 23, 2015


Kiungo wa zamani wa Simba, Pierre Kwizera ameanza vibaya katika kikosi chake kipya nchini Rwanda.


Rayon Sports, imekumbana na kipigo cha mabao 4-0 kutoka kwa watani wao wa jadi APR katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Amahoro, Kigali, juzi.

Kwizera ambaye alicheza katika mechi hiyo na kuonyesha kiwango kizuri.

Lakini mambo yakawa magumu kwao katika kipindi cha pili kwani APR walifunga mabao yote ndani ya hizo dakika 45 za pili.


Mabao ya APR yalifungwa na Nsahindula Michelle, emiry Bayisenge, Yannick Mukunzi na Sekamana Maxime.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic