February 23, 2015

 Manny Pacquiao mapemaaa, ameanza mazoezi kujiandaa na pambano la Mei 2 dhidi ya Floyd Mayweather ambaye hajawahi kupigwa.


Pambano hilo linaloaminika kuwa ghali zaidi duniani katika mchezo wa ngumi, litapigwa jijini Los Angeles, Marekani.

Tayari Manny ameanza kujifua katika kisiwa cha Mindanao Kusini kwao Ufilipino.

Uamuzi wa kuanza mapema umeifanya dunia iamini, Mfilipino huyo ambaye sasa ni mwanasiasa kwamba amepania kuionyesha dunia.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic