Manny Pacquiao
mapemaaa, ameanza mazoezi kujiandaa na pambano la Mei 2 dhidi ya Floyd
Mayweather ambaye hajawahi kupigwa.
Pambano hilo
linaloaminika kuwa ghali zaidi duniani katika mchezo wa ngumi, litapigwa jijini
Los Angeles, Marekani.
Tayari Manny
ameanza kujifua katika kisiwa cha Mindanao Kusini kwao Ufilipino.
Uamuzi wa
kuanza mapema umeifanya dunia iamini, Mfilipino huyo ambaye sasa ni mwanasiasa
kwamba amepania kuionyesha dunia.
0 COMMENTS:
Post a Comment