Licha ya kuwa
na jukumu zito dhidi ya man City katika Ligi ya Mabingwa Ulaya, wachezaji wa
Barcelona wakiongozwa na Lionel Messi waliamua kujirusha usiku klabu.
Messi akiwa na
Gerrard Pique pamoja na swahiba wake, Cesc Fabregas ambaye sasa anakipiga
Chelsea.
Mke wa Fabregas
na mpenzi wa Messi nao waliungana na waume zao usiku huo.
Saa moja
baadaye Messi na kikosi cha Barcelona walisafiri hadi Manchester, England
tayari kwa kazi dhidi ya Man City.
0 COMMENTS:
Post a Comment