Real
Madrid imeitwanga Barcelona kwa pointi 77-71 na kutwaa ubingwa wa Copa de Rey
katika mchezo wa mpira wa kikapu.
Licha ya
mechi kuwa kali huku Barcelona wakionekana kutawala robo mbili za mwanzo,
Madrid walibadilika zaidi.
Robo ya
mwisho ndiyo ilionekana kuwa ngumu kwa Barcelona, huku Madrid wakitawala kila
idara.
Tayari
uongozi wa timu hiyo ya kikapu ya Madrid umeshatamba unataka kuchukua kila taji.
FC BARCELONA 71 (21+21+15+14): Satoransky
(11), Oleson (4), Hezonja (0), Doellman (11), Tomic (25) -starting five-;
Huertas, Abrines (7), Navarro (6), Thomas (7), Lampe, Nachbar, Pleiss.
REAL MADRID 77 (18+23+23+13): Llull, Carroll (5), Rudy Fernández (16), Ayón (10) and Reyes (8) -starting five-; S. Rodríguez (10), Campazzo, Maciulis (8), Rivers (2), Nocioni (10), Bourousis (4) and Slaughter (4).
REAL MADRID 77 (18+23+23+13): Llull, Carroll (5), Rudy Fernández (16), Ayón (10) and Reyes (8) -starting five-; S. Rodríguez (10), Campazzo, Maciulis (8), Rivers (2), Nocioni (10), Bourousis (4) and Slaughter (4).
0 COMMENTS:
Post a Comment