February 20, 2015

 Tottenham imepitisha kuanza kujenga Uwanja mpya wa White Hart Lane ambao utagharimu kitita cha pauni milioni 400.


Uwanja huo utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamani 56,000 walioketi.

Awali kulikuwa a pingamizi mahakama kuu, lakini likatupwa na kutoa nafasi hiyo ya kuanza kujenga.
Kwa mujibu wa mtandao wa timu hiyo, uwanja huo unatarajiwa kuwa umekamilika na kuanza kutumika katika msimu wa 2018-19.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic