Manny Pacquiao ameamua
kukunua jumla la kifahari nchini Marekani na atalitumia kama makazi wakati wa
maandalizi yake kabla ya kumvaa Floyd Mayweather Mei 2, mwaka huu.
Jumla hilo lina
thamani ya pauni milioni 8.4 na liko katika eneo la mastaa kwenye mji wa
Beverly Hills.
Jumla hilo lenye
vyumba saba, bwawa la kuogelea, sehemu tatu maalum za kupumzukia na lina mpangilio mzuri na liko sehemu ambayo ni mlimani, moja ya sehemu zake za kupumzikia zinaweza kumfanya anayezitumia kuona sehemu kubwa ya mji huo.
0 COMMENTS:
Post a Comment