March 13, 2015

Chelsea imeamua kuboresha safu yake ya ulinzi na sasa iko tayari kumtwaa beki Raphael Varane wa Real Madrid.

Chelsea iko tayari kumwaga kitita cha pauni 40 kwa ajili ya kumnasa beki huyo inayeelezwa hana furaha.

Varane mwenye miaka 21 amekuwa hana furaha huenda kutokana na kutopata nafasi ya kucheza kwa kiasi kikubwa.


Madrid inawategemea wakongwe Pepe na Sergio Ramos.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic