Mpinzani wake Floyd Mayweather mara nyingi amekataa kupigana
naye kwa madai huenda anatumia dawa za kuongeza nguvu.
Lakini jana amekubali kupimwa, tena ‘live’ huku runinga ya
kwao Ufilipino ikionyesha.
Wakali hao wanakutana Mei 2, Las Vegas nchini Marekani katika
pambano ghali zaidi la mchezo wa ngumi duniani.










0 COMMENTS:
Post a Comment