March 18, 2015



FULL TIME:
Yanga wanamtoa Telela wanamuingiza Nisar Khalfan

Dk 90, Tegete anakosa mabao  mara mbili akiwa uso kwa uso na kipa.


Dk 76, Barthez anaumia na kuanza kutibiwa ikiwa ni dakika moja baada ya kuokoa shuti kali.
Dk 58 Javu anapiga shuti kali linagonga mwamba na kutoka.

Dk 56, Mandawa anaingia eneo la 18 la Yanga, anapiga shuti lakini Barthez anaokoa na kuwa kona isiyo na manufaa.
Dk 53, Sherman peke yake na kipa, lakini anashindwa kufunga na beki anaokoa.
Dk 51 Kagera wanamtoa Babu Ali anaingia mkongwe Malegesi Mangwa
Msuva na Oscar Joshua wanafanikiwa kufunga mabao mawili.

Kipindi cha pili kinaanza kwa kasi huku Yanga wakishambulia zaidi na kuwapa wakati mgumu Kagera.
DAKIKA 3 ZA NYONGEZA:
GOOOOOOOOO Dk 39, Salum Kanoni anafunga kwa uzuri kabisa akimchambua Barthez.


PENAAAAT Dk 38 Atupele Greeen anaangushwa na mwamuzi
Yanga wako pungufu mtu mmoja kwa kuwa Twite anatibiwa.
Dk 36, Yanga wanamtoa Tambwe aliyeumia na nafasi yake inachukuliwa na Hussein Javu.
Dk 36, krosi safi lakini Benjamini Asukile lakini kichwa kinakuwa hakina nguvu.


Dk 21, Tambwe anaingia ndani ya 18, lakini anashindwa kufunga.

GOOOOOO Dk 14, Tambwe anaifungia Yanga bao safi kabisa baada ya Ngassa kuwazidi mbio mabeki wa Kagera na kupiga krosi saafi.



Dk 14, Tambwe anaifungia Yanga bao lakini mwamuzi anasema ni mapumziko.
Dk 11, Kagera wanapata kona mbili mfulizo lakini hazijazaa matunda.
GOOOOOOOOOOO Dk 8, Msuva anaipachika panalti hiyo vizuri.


PENAAAAATTTT DK 6 Msuva anaangushwa ndani ya eneo la hatari na mwamuzi anasema ipigwe penalti.
Lakini Kagera Sugar wanajibu kwa ukali wakionyesha wako fiti na wamepania kushinda.



Yanga wanaanza kwa kufanya mashambulizi makali.

1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic