March 12, 2015


Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi amesema alikuwa na asilimia nyingi kuwa mpira alioupiga langoni mwa Yanga ungeingia.

“Wakati nakimbia na mpira, niliona kipa akiwa amesogea juu kidogo. Kwa hesabu za haraka niliamini mpira ule ungeweza kuingia wavuni.

“Nilijua nitafunga, suala la kulenga ndiyo lilikuwa muhimu na nikafanya hivyo,” alisema Okwi.


Okwi raia wa Uganda, alifunga bao pekee lililoiwezesha Simba kuishinda Yanga kwa bao 1-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar, Jumapili.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic