April 2, 2015

MATOLA AKIWA NA REHEMA....
Baada ya kusubiri kwa muda, hatimaye kesho itakuwa siku ya kukumbukwa kwa Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola.


Matola anafunga ndoa na mpenzi wake wa siku nyingi, Rehema Karani.

Wengi walitamani kujua sura ya ‘shemejiiii’ ambaye ni mwanadada mrembo kweli.


Huenda kilichobaki ni kumsifia kuwa kweli Matola amchagua hasa mtoto kutoka Mwanza, sijui Lindi. Ahh, ila huyo ndiye shemeji yenu.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic