WACHEZAJI WA SIMBA WAKIJIFUA KWENYE UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR, LEO. |
Simba imefanya mazoezi leo kwenye Uwanja wa
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kujiandaa na Ligi Kuu Bara.
Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kopunivic na msaidizi
wake, Selemami Matola waliongoza mazoezi hayo.
Wachezaji walikimbia na baadaye kufanya
mazoezi mepesi kabla ya kucheza mpira.
Kopunovic amesema wanalazimika kukitumia
kipigo cha Mbeya City kama sehemu ya maandalizi ya mechi zilizobaki.
0 COMMENTS:
Post a Comment