May 10, 2015

Kiungo Yaya Toure wa Man City ametimiza miaka 31 leo wakati akiitumikia timu yake ambayo imeitwanga QPR kwa mabao 6-0.


Mashabiki baadhi waliingia na mabango kumpongeza na ndege ilipita juu ya uwanja wa Emirates ikiwa imebeba bango kumpongeza.
Kama unakumbuka mwaka jana, Yaya aliwahi kulalama kwamba uongozi na wachezaji wenzake walimtosa siku hiyo ya kuzaliwa kwake.







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic