May 28, 2015

Chelsea wametua Bangkok Thailand na kupokelewa vizuri kinoma.

Mashabiki wa Chelsea wamejitokeza kwa wingi kuwapokea Chelsea huku wengine wakitaka kukumbatiwa na kiungo nyota, Eden Hazard.

Chelsea ambao ni mabingwa wa England, watacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Thailand All Stars, Jumamosi.

Baada ya mechi hiyo ya kirafiki, Chelsea watafungas afari hadi Australia ambako watacheza mechi nyingine ya kirafiki. Angalia walivyopolekewa.












0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic