July 3, 2015

Wachambuzi wa Soka Barani Ulaya wamempa nafasi kungo Ardan Turan kuwa akitua katika kikosi cha Barcelona ana nafasi ya kucheza.


Taarifa za kwamba yeye ameichagua Barcelona licha ya kuwa na taarifa kuwa kiungo huyo wa Atletico Madrid anawaniwa na timu kadhaa barani Ulaya.

Turan mwenyewe alisema yuko kwenye sikukuu na bado hajazungumza lolote kuhusiana na timu mpya.


Lakini bado wachambuzi hao wanaamini pamoja na Lionel Messi, Iniesta, Neymar na Luis Suarez abado Turan mwenye asili ya Uturuki bado ana nafasi ya kucheza katika kikosi hicho.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic