Mshambuliaji
nyota wa Man City, Sergio Aguero ameamua kuchukua jezi namba 10.
Kun
amechukua jezi hiyo kwa ajili ya msimu wa 2015-16 Premier League. Awali alikuwa
akitumia jezi namba 16.
Lakini
ameamua kuchukua namba 10 baada ya kuachwa wazi na Edin Dzeko aliyejiunga na AS
Roma ya Italia.
Kun
raia wa Argentina ameahidi makubwa zaidi msimu ujao akiwa ndani ya uzi huo.
0 COMMENTS:
Post a Comment