Kocha wa Costa Rica, Paul Wanchope ameamua kuachia ngazi.
Wanchope ameachia ngazi
baada ya kuzichapa kavukavu na mlinzi kwenye Uwanja wa Panama wakati timu ya
nchi yake chini ya miaka 23 ilipokuwa ikicheza mechi ya kufuzu Olimpiki.
Mlinzi alipinga Wanchope
kufungua moja ya geti na kuvunja utaratibu.
Akamvamia na kuanza
kumpiga, Wanchope ambaye aliwahi kung;ara akiwa na Derby County na Manchester
City naye akajibu mashambulizi.
Lakini amezungumza na
waandishi na kuthibitisha kweli ameamua kuachia ngazi.
0 COMMENTS:
Post a Comment