Mario Balotelli ameamua zake kusafiri hadi jijini Manchester ambako
ameshuhudia mchezo kati ya Man City waliokuwa wenyeji wa Chelsea.
City ambayo ni timu ya zamani ya Balotelli iliibuka na ushindi mtamu wa
mabao 3-0 dhidi ya mabingwa hao wa England.
Balotelli alishuka hadi njia ya kuendea vyumbani na kuanza kuwapongeza
baadhi ya wachezaji wa Man City akiwemo nahodha Vicent Kompany.
Baada ya hapo, akaitupia picha hiyo kwenye mtandao wa Isnstagram.
0 COMMENTS:
Post a Comment