August 6, 2015

Barcelona imeonyesha kiwango na kuichapa AS Roma kwa mabao 3-0 katika mechi ya kirafiki jana, lakini mshambuliaji wake Lionel Messi nusura alambwe kadi nyekundu.


Messi alinusurika tu baada ya kumpiga kichwa kwa makusudi na kumkaba beki Mapou Yanga-Mbiwa walipokuwa wanazozana. Wote wawili walilambwa kadi nyekundu.

Bao la kwanza lilifungwa na Neymar kabla ya Messi na Raktic kuimalizia kazi ya tatu bila.










0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic