Bao la ‘usiku’ la Pedro aliyetokea benchi limeibeba Barcelona na
kushinda Uefa Super Cup.
Barcelona
ilikuwa imebanwa licha ya kuongoza kwa mabao 3-2 dhidi ya Sevilla ambao
waliamka na kusawazisha hadi 4-4 ahali iliyofanya muda wa dakika 30 kuongezwa.
Muda wa
nyongeza, bado Sevilla walionekana wazima hadi Pedro alipomaliza kazi hiyo kwa
kufunga bao katika dakika ya 115.
VIKOSI:
Barcelona: Ter
Stegen, Dani Alves, Pique, Mascherano (Pedro 93), Mathieu, Rakitic, Busquets,
Iniesta (Sergi Roberto 63), Messi, Luis Suarez, Rafinha (Bartra 78)
Subs
not used: Bravo, Adriano, Sandro, Munir.
Goals: Messi
7, 15, Rafinha 44, Suarez 52, Pedro 115
Booked: Pedro,
Mathieu, Alves, Busquets
Sevilla: Beto,
Coke, Rami, Krychowiak, Tremoulinas, Krohn-Dehli, Banega, Reyes (Konoplyanka
69), Iborra (Mariano 80), Vitolo, Gameiro (Immobile 80).
Subs
not used: Sergio Rico, Kakuta, Luismi, Suarez.
Goals: Banega
3, Reyes 57, Gameiro (72 pen), Konoplyanka 81
Booked: Coke,
Banega, Immobile, Krychowiak, Krohn-Deli
Referee: William
Collum (Scotland)
0 COMMENTS:
Post a Comment