Kama ulidhani Carlo Ancelotti
ana maisha ya shida sana kwa kuwa alifukuzwa kazi Real Madrid, basi
umejidanganya.
Kocha huyo ametupia
picha mtandaoni akionyesha bonge la samaki alilolivua kule Vancouver nchini
Canada.
Ancelotti raia wa Italia
amekuwa akisafiri nchini mbalimbali akila maisha kwa raha zake licha ya kwamba
Madrid waliotesha majani kibarua chake na kumkabidhi Rafa Benitez.
0 COMMENTS:
Post a Comment