August 15, 2015


Kama ulidhani Carlo Ancelotti ana maisha ya shida sana kwa kuwa alifukuzwa kazi Real Madrid, basi umejidanganya.
Kocha huyo ametupia picha mtandaoni akionyesha bonge la samaki alilolivua kule Vancouver nchini Canada.



Ancelotti raia wa Italia amekuwa akisafiri nchini mbalimbali akila maisha kwa raha zake licha ya kwamba Madrid waliotesha majani kibarua chake na kumkabidhi Rafa Benitez.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic