Mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku alilazimika kupanda
hadi jukwaani na kutoa suti yake ya michezo kwa shabiki wa Southampton.
Alifanya hivyo baada ya kumpiga shabiki huyo mama mtu mzima
na mpira wakati wanapasha kabla ya kuivaa Southampton.
Lukaku alipanda jukwaani, akamuomba radhi mama huyo mtu
mzima, kisha akavua track suit yake na kumkabidhi.
Katika mechi hiyo, Lukaku alifunga mabao mawili wakati
Everton ikishinda mabao matatu ugenini.
0 COMMENTS:
Post a Comment