Chelsea imekiona cha moto leo baada ya kuchapwa mabao 3-0 na Man City waliokuwa wenyeji wake katika mechi ya pili ya Ligi Kuu England.
Sergio Aguero, Vicent Kompany na Fernandinho ndiyo waliofanya kazi kubwa ya kupachika mabao.
Manchester City: Hart, Sagna, Mangala, Kompany, Kolarov, Toure, Fernandinho, Navas, Silva, Sterling, Aguero.
Subs: Caballero, Zabaleta, Clichy, Nasri,
Demichelis, Bony, Iheanacho
Chelsea: Begovic, Ivanovic,
Cahill, Terry, Azpilicueta, Ramires, Matic, Willian, Fabregas, Hazard; Diego
Costa.
Subs: Blackman,
Zouma, Mikel, Loftus-Cheek, Cuadrado, Falcao, Remy.
Referee: Martin Atkinson
Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho alionekana mnyonge asiyekuwa na la kusema wakati Chelsea ikipoteza kwa idadi hiyo na kuifanya kuwa na pointi moja tu katika mechi mbili za Ligi Kuu England.
0 COMMENTS:
Post a Comment