Jose Mourinho amesaini mkataba mpya wa Chelsea ambao
utakuwa na urefu wa miaka minne.
Kocha huyo rauia wa Ureno sasa anaondoka na pauni
milioni 30 kutokana na mkataba huo mpya.
Mourinho ameingoza Chelsea kubeba makombe mawili ya
Capital Onea na Premier League.
Mreno huyo mwenye miaka 52, hakufanya vizuri kwa maana
ya kupata ushindi katika mechi zake za majaribio kujiandaa na msimu mpya lakini
amesisitiza watafanya vizuri.
Chelsea itaanza msimu wa 2015-16 kwa kucheza na
Swansea.
0 COMMENTS:
Post a Comment