Straika Adi Yussuf anayechezea klabu ya Mansfield Towny ya Uingereza alitarajiwa kujiunga na timu nchini Uturuki, lakini haitakuwa hivyo.
Adi aliumia wiki iliyopita katika mchezo dhidi ya Nottingham Forest ambapo kwa sasa anaendelea na matibabu chini ya uangalizi wa klabu hiyo, na pindi atapokuwa fit atapata nafasi ya kujumuika na kuitumika timu ya Taifa ya Tanzania.
Hii ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mchezaji huyo kujiunga na kikosi cha Taifa Stars.
0 COMMENTS:
Post a Comment