Kesho
jumatano Agosti 12,2015,Kutakuwa na mkutano na waandishi wa habari
utakaofanyika katika ofisi za Chama cha Soka mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), zilizopo katika jengo la Machinga Complex Ilala (karibu na Uwanjwa wa
Karume).
Mkutano huo itaanza saa 5 asubuhi, chonde mnaombwa
kuhudhuria bila kukosa.
Omary
Katanga
DRFA
Mkuu wa Habari na Mawasiliano.
0 COMMENTS:
Post a Comment