August 13, 2015


Zinedine Zidane amempa mwanaye Enzo unahodha wa kikosi cha pili cha Real Madrid.


Zidane ndiyo kocha wa timu B ya Madrid maarufu kama Castilla, na ameamua kumpa mwanaye huyo.

Ingawa inaonekana ni kama zengwe kwa kuwa Enzo alicheza soka katika kikosi cha daraja la kwanza inayojulikana kama Tercera, kabla ya kujiunga na Madrid B aliyopandishwa.

Hana muda wa kutosha kiasi cha kupewa unahodha wa kikosi B kwa kuwa alicheza daraja la tatu yaani Segunda B kabla ya kutua kikosi B.


Lakini Zidane amefunga masikio na kumwamini mwanaye huyo ambaye amempa unahodha.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic