Zinedine Zidane
amempa mwanaye Enzo unahodha wa kikosi cha pili cha Real Madrid.
Zidane ndiyo kocha wa timu B ya Madrid maarufu
kama Castilla, na ameamua kumpa mwanaye huyo.
Ingawa inaonekana ni kama zengwe kwa kuwa Enzo
alicheza soka katika kikosi cha daraja la kwanza inayojulikana kama Tercera,
kabla ya kujiunga na Madrid B aliyopandishwa.
Hana muda wa kutosha kiasi cha kupewa unahodha
wa kikosi B kwa kuwa alicheza daraja la tatu yaani Segunda B kabla ya kutua
kikosi B.
Lakini Zidane amefunga masikio na kumwamini
mwanaye huyo ambaye amempa unahodha.
0 COMMENTS:
Post a Comment