September 21, 2015

Lionel Messi amekosa penalti yake ya 17 kati ya 81 ambazo amewahi kupiga katika mechi za La Liga.


Messi alikosa mkwaju wa penalti wakati Barcelona ikiivaa Levante na kipa Gorka Iraizoz akaipangua.

Kutokana na kukosa penalti hiyo, Messi amefikisha asilimia 21 ya ukosaji wa penalti.

Messi ni kati ya wachezaji wachache waliopiga penalti nyingi katika kikosi cha Barcelona maarufu kama 'Azulgranas' ingawa vinara hasa ni César na Samuel Eto'o.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic