September 21, 2015

KIIZA KAZINI....
Gumzo kubwa katika soka nchini sasa ni washambuliaji wawili wa kigeni, Hamis Kiiza wa Simba na Donald Ngoma wa Zimbabwe.


Kiiza kutoka Uganda na Ngoma wamekuwa gumzo kubwa baada ya kupachika mabao matatu na matano hali inayofanya kila mmoja aamini wameanzisha ushindani mkubwa katika ya mechi ya watani Simba na Yanga, Jumamosi.
 
NGOMA
Kiiza amefunga mabao matano katika mechi tatu, huku akiwa wa kwanza kufunga Hat trick katika Ligi Kuu Bara msimu wa 2015-16.

Kiiza amefunga mabao hayo katika mechi dhidi ya Kagera na kuiwezesha Simba kushinda kwa mabao 3-0 katika mechi yake ya tatu ya ligi.

Ngoma tayari ana mabao matatu baada ya kufunga bao moja katika kila mechi.

Ukali wa washambuliaji hao, maana yake kweli wanaweza kutoka bila bao hata moja katika mechi ijayo.

Je, Kiiza ataongeza mabao mengine au Ngoma atatupia na kumfikia Kiiza? Maswali ni mengi sana.


Lakini wawili hao, sasa ndiyo gumzo kubwa katika soka nchini hasa unapozungumzia suala la uchekaji na nyavu.

Kwa uwezo waliouonyesha katika mechi tatu zilizopita, maana yake kila mmoja, anaonyesha 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic