September 13, 2015


Hatimaye mshambuliaji Donald Ngoma, amefanikiwa kuingia nyavuni kwa kuifungia Yanga bao.


Ngoma amefunga bao wakati Yanga la pili wakati Yanga ikicheza na Coastal Union. Awali ilionekana Ngoma alikuwa na ukame wa mabao hasa katika mechi za kirafiki.

Kwa sasa ni mapumziko katika mechi hiyo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na Ngoma alifunga bao katika dakika ya 42.


Kabla ya hapo, Yanga ambayo sasa inaongoza kwa mabao 2-0, ilianza kupata bao lake kupitia kwa Simon Msuva.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic