![]() |
| KIIZA |
Simba
imefanikiwa kuanza vizuri Ligi Kuu Bara baada ya ushindi wa bao 1-0 ikiwa
ugenini dhidi ya African Sports ya Tanga.
Shukurani kwa Mganda Hamis Kiiza ambaye alifunga bao hilo pekee kwenye Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga.
Angalau
Simba, iliweza kuonyesha soka ala kuvutia katika kipindi cha pili tofauti na
mambo yalivyokuwa katika kipindi cha kwanza.








0 COMMENTS:
Post a Comment