Na
Saleh Ally
Mwenyekiti
wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe ametangaza kutengeneza supu
mpya kwa ajili ya Yanga huku mwenyekiti wake, Yusuf Manji akiwa studio.
Manji
alikuwa mgeni katika studi za EFM Radio katika kipindi cha E Sports pale
aliposema, “Yanga wameshituka ile supu tuliyowaandalia, sasa tunawaandalia
mpya.
“Tunachotaka
sasa ni kuhakikisha tutakayowapa hawaitemi tena,” alisema.
Wakati
Hans Poppe akisema hayo, Manji alikuwa studio kama mgeni mwalikwa, baadaye
mtanagazaji Maulid Kitenge akamuuliza: “Umemmsikia Hans Poppe na supu
anayowaandalia?”
Manji
naye akajibu: “Namsikia sana.”
0 COMMENTS:
Post a Comment