Meja
mstaafu, Abdul Mingange ambaye ni Kocha Mkuu wa Mbeya City, ameendelea kukifua
kikosi chake kabla ya mechi dhidi ya African Sports, Alhamisi.
Mbeya City
inatoka katika kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Simba kwenye Uwanja wa Sokoine mjini
Mbeya ambao ndiyo wanaendelea na mazoezi.
“Tumepoteza
mechi dhidi ya Simba na tumeona makosa mengi sana. Tunaendelea kuyafanyia.
Lengo ni kushinda mechi yetu ijayo,” alisema.
0 COMMENTS:
Post a Comment