October 22, 2015


Bondia Floyd Mayweather amechukua miaka 19 kufikia mafanikio makubwa aliyokuwa nayo sasa.


Bondia huyo mwenye mbwembwe ameamua kuanika mikanda yake yote 22 aliyoshinda kutoka katika mashirikisho ya WBC, WBA na IBF.


Mkali huyo amepanda ulingoni katika mapambano 49 ya kulipwa bila ya kupoteza hata moja.

DAILY MAIL

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic