November 26, 2015


Kocha Hans van der Pluijm wa Yanga ameonyesha bado wamo aisee.


Wakati akiwanoa wachezaji wake alikuwa akiwaonyesha mambo kadhaa ikiwemo namna ya kumliki mpira na kumhadaa adui kwa wakati mmoja.

Pamoja na kuonekana ni mtu mzima, lakini Pluijm raia wa Uholanzi alifanya kazi yake kwa ufasaha na kuwavutia vijana wengi wakiwemo wachezaji.


Mara kadhaa, wachezaji walionyesha kufurahishwa na kocha huyo aliyewahi kuwa kipa wa timu ya taifa ya Uholanzi namna alivyokuwa akiutuliza mpira na kugeuka nao. ANGALIA PICHA.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic