November 26, 2015


Chini ya Kocha Hans van der Pluijm, Yanga imeendelea na mazoezi makali kwenye Uwanja wa Boko Veterani jijini Dar es Salaam.


Licha ya idadi ndogo ya wachezaji kutokana na wengi kuwa katika timu zao za taifa zinazoshiriki michuano ya Chalenji nchini Ethiopia, mazoezi ya leo yaliendelea kuwa makini na hakuna utani.

Awali yalianza kama taratibu hivi, lakini baadaye ikawa ni mbiobio.


Wakati walipojigawa, zikawa ni ushindani mkali utafikiri mechi na kila upande ulionekana kupania kushinda.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic