January 26, 2016


Kocha Jackson Mayanja wa Simba amekuwa akiendelea kukinoa kikosi chake kwa juhudi kubwa.

Tayari amekiongoza katika mechi tatu bila ya kupoteza. Moja ya mazoezi yake ambayo huvutia ni pale anapohakikisha mchezaji fulani anajifunza kwa uhakika.

Kama unavyoona alivyokuwa akimuonyesha Joseph Kimwaga anavyoweza “kudesh” na kumuacha adui kwa kutumia mwili.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic