Kipa huyo kinda alijitokeza na mchumba wake kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, kwa pamoja wakaishuhudia Yanga ikipambana na Friends Rangers katika michuano ya Kombe la FA linalodhaminiwa na Azam Sports.
Kama hukuwahi kumuona, huyu ndiye shemeji yako….ila punguza maneno. Hehehe.
0 COMMENTS:
Post a Comment