January 26, 2016

MINGANGE

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetuma salamu za rambirambi kwa Kocha Mkuu wa klabu ya Mbeya City inayoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom, Meja Mstaafu Abdul Mingange kufuatia kifo cha mke wake Fatma Juma kilichotokea mwishoni mwa wiki jijini Dar es salaam.

Katika salamu zake kwenda kwa familia ya marehemu, TFF imempa pole mme wa marehemu Meja Mingange, ndugu jamaa, marafiki pamoja na klabu ya Mbeya City kufuatia kifo hicho.


Mazishi ya marehemu Fatma Juma yamefanyika Jumapili iliyopita katika makaburi ya Matombo mkoani Morogoro.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic