January 30, 2016


UGANDO KAZINI....
Simba iko Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuwakaribisha African Sports na Kocha Jackson Mayanja ametoa nafasi kwa kinda Haji Ugando aanze.

Kinda huyo mwenye uwezo unaoridhisha na anahitaji nafasi ya kucheza aendelee kucheza vizuri, atakuwa akiongoza mashambulizi kwa msaada wa mkongwe Hamisi Kiiza na kinda mwingine Ibrahim Ajib.

Kikosi hiki hapa....

1. Vicent Angban
2. Hassan Kessy
3. Abdi   Banda
4. Juuko Murshid
5. Hassan  Isihaka
6. Justice Majabvi 
7. Mwinyi kazimoto
8. Jonas  Mkude
9. Haji Ugando 
10. Ibrahim Ajib 
11. Hamis Kizza 

Kikosi cha akiba ni 

1. Peter Manyika 
2. Emery Nimubona 
3. Novalty Lufunga
4. Said Ndemla 
5. Awadh Juma 
6. Mussa Mgosi 

7. Brian Majwega

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic