February 20, 2016



Kocha Hans van der Pluijm amelazimika kufanya mabadiliko katika kikosi chake upande wa ulinzi kutokana na pengo la wachezaji wawili.

Kelvin Yondani ana kadi nyekundu, nahodha Nadir Haroub 'Cannavaro' ni majeruhi. Hivyo Pluijm amewapanga Bossou na Pato Ngonyani kuongoza safu ya ulinzi huku mkongwe Mbuyu Twite akiongoza kiungo cha ukabaji.

1. Ally Mustapha ‘Barthez’
2. Juma Abdul
3. Haji Mwinyi
4. Pato Ngonyani
5. Vicent Bossou
6. Mbuyu Twite
7. Deus Kaseke
8. Thabani Kamusoko
9. Amissi Tambwe
10. Donald Ngoma
11. Haruna Niyonzima


SUB
Deo Munish
Malimi Busungu
Nadir Harub
Geofrey Mwashiuya
Oscar joshua
Issofou Boubacar
Simon Msuva



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic