February 11, 2016


Bayern Munich imeshinda kwa mabao 3-0 dhidi ya Bochum katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Ujeurmani.

Shukurani kwa mshambuliaji Robert Lewandowski aliyefunga mabao mawili yaani brace na kusaidia kupunguza presha kwa kocha Pep Guardiola anayehamia Man City.

Guardiola amekuwa kwenye presha kubwa kutoka kwa magwiji wa Bayern ambao wanaamini hawezi kukubaliana na timu nyingine suala la kuhamia kabla ya kumalizana na klabu hiyo kwa maana ya kumaliza kazi zake.


Wanaamini hawezi kuwekeza akili zake zote Munich. Lakini ushindi huo, unazidi kupunguza presha hiyo.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic